Saturday, February 12, 2022

#NIA YAKO NI NINI?


 NIA yako ni nini!? 

Mwanadamu yeyote aliyemwamini Bwana ajiamini kwa imani hiyo na iwapo na nia kupo kuishi kusudi. Nia hukufanyia lengo imara na  kusudi huwa wazi zaidi.  Nia huimarisha maono na kuyathibitisha duniani. Ona Musa na nia ya kuwakomboa wana wa Israeli Misri wala haikuwa shida kwake hata kujitenga miaka 40. Mwanadamu mwenye nia hapingiki kulielekea kusudi la maisha yake, yaje mafuriko, ije dhoruba, uje moto na kila aina ya maudhi, kukataliwa na makwazo yote. Nia iliyokuwa ndani yake Bwana iwe kwako pia, nayo shauku isikauke kufikia kusudi, Yesu Kristo alionyesha ustahimilivu mpaka ushindi katika yote, nawe waweza ukashinda.

#UMEMJUA? UMEMUELEWA? UMEJITAMBUA VIZURI??

 Isaiah 40:28; No one can fathom His understanding.

Danieli 9:22 over 30/40s alielimishwa na kuambiwa na mailaka mkuu kuwa, “Danieli, sasa nimekuja kukupa akili na ufahamu''. Years back' was he not knowledgeable?? pamoja na mfalme kumwamini yeye kuwa bora kuliko wote ufalmeni (Daniel 6:3). Atleast understand in this world we are just wrestling na kule kujua kwetu kusikotuelewesha vizuri kwamba hatujui bado itupasavyo, this is truth even time we are here is not enough to make us understand all. Imagine hata wale wasemao kuwa ndio washikiliao mifumo ya dunia hii they even don't understand or know exactly why they do what they do.

Duniani u ndani ya fumbo kuu' we all try to fathom it while claim living.. Ubatili ni mwingi sana na hivyo kila kusonga mbele kwetu haimaanishi tunajua, au tunajielewa ama tunaufahamu wote' ni kama kondoo... La kheri jitahidi kumfahamu Mungu na kumjua sana ili ujijue wewe na uumbaji wake wote..

Kumbuka; "Mtu yeyote anayedhani kwamba anajua kitu, bado hajui kama impasavyo kujua''.

~1 Wakorintho 8:2.

Kila siku tunatambua 'aha! moment' kwa maana bado sana, hivyo zidi kutambua hata kama ni kwa sehemu tendea kazi, tumia ufahamu vizuri. Maisha ni kung'amua ng'amua mafumbo yako na ishi huru si kitumwa.

Only your mind by God's power in Jesus name and His wisdom can free your soul from all ignorance. 

And if you are spiritual conscience be also mindful conscience. For;

-Your mind your freedom

-Your mind your solution

-Your mind your heart, as your deposits in your heart is a product of your mind.

-Your mind gateway to eternity as in heart eternity set.

Have mindset well, take care! what's in your mind not in your pocket, is what determine your future.

#mindyourmind



Saturday, January 8, 2022

#2022 BREAKTHROUGH YEAR

 Acts 16:16-26 _The Year of Breakthrough; Like Paul and Silas to breakthrough' be of prayer' praise and worship God always.  Present your bodies onto God as a living sacrifice' Stay Holy and pleasing to Him (Romans 12:1) by Confess and renounce Sins always to find Mercy of God (Proverbs 28:13).

Indeed' You will prosper...2 Corinthians 10: 4; For we are given weapons of our warfare that are not carnal, but mighty through God to the pulling down of strong holds (silaha zenye uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome).

!!Use well weapon of your words and prayer' You will prosper for sure...

Friday, December 17, 2021

#ARISE! CHILD OF GOD

 Good things God prepared for us, it’s all coming on our way, Arise! Shine! Takeover! Child of God, I say again Arise! be strong (be empowered) in the Lord and in the strength of His might (Ephesians 6:10). As we are approaching the end of this good year 2021, we are hoping a lot to be achieved in next year 2022 as God brings to our life. I therefore say Arise! Child of God…It's when you Arise!, that’s when you rise. In the holy bible the word Arise appeared 235 times according to biblehub.com.... Arise! Gives a positive change energy in your life from your present situation.

Originally, Arise comes from Greek word ''Sikonomai'' which literally means stand up' come into being' come into action' up!’ come above horizon' coming out' emerge' get up’ be stirred up' be awake'. Now when the Lord says Arise or rather the Angel he sends to you says Arise!, that word is power, a Holy Spirit power stirring you up.

You see most of the time you hear "Arise" in the Holy Bible it connects with Good news ahead of you right there. It has to do with enlarging your territory, giving you victory for the season that comes to you instantly as hearing that word ‘’Arise’’, think through what happened to Hagar (Genesis 21:15-18) and Gideon (Judges 7:9), miracles happen!, promises declared!, its amazing!. That’s why even Isaiah 60:1-2 confidently declared "Arise, shine, your light has come, and the glory of the Lord rises upon you. See darkness covers the earth and thick darkness is over the peoples, but the Lord rises upon you and his glory shall be seen upon you". You might be behind new and good things now in your life, hopeless or less enlightened with the knowledge of God in one way or another, here is the hope that we all have in Christ our life be empowered more and more with God’s knowledge, Arise therefore, for you will indeed be a great nation with abundant blessing, as nations will come to your light (to your understanding on God’s Knowledge), and kings to the brightness of your dawn, the prophet says in Isaiah 60:3. This is what also Paul wrote to Romans 8:19 that; "The creation waits in eager expectation for the revelation of the sons of God", who are the sons of God?, me and you full of His knowledge with that strong hope in Him (1 John 3:1-3). You see you are able to acknowledge that you are a child of God because of His knowledge, you acknowledge the position of childship and always live by being a child in faith because knowledge brings in light and build up faith and that light that is in you is what attracts creation so, ARISE means a world to me, it’s my prophecy, I guess now to you also, this means everything to the believer of Christ. When hearing that, do not be hardhearted for it is not a mere season set, but SEASON THAT CAME. Though the word package comes with responsibilities when you hear Arise but to whoever is his/her time blessed is he or she for it's worth living for substituting it with everything else. Believe Christ today and be a partaker of that Word (ARISE), for it will cause so many positive changes in your life and transform your inner being for better cause.

In the Daniel 11 verse 32b the Holy bible insists about “the people who know their God (because of God’s knowledge) that they shall be strong, and carry out great exploits”. Knowing your God!, Benchmark, it is His knowledge! Understanding of His knowledge! make you know Him, i.e. you possess the mind of Christ and that connects with what might wonders, great great things you will do with that. Now as they say power hates vacuum, I do believe indeed power hates vacuum, let the next year 2022 be the year that Christian family globally stays as one family in all walks of life that will accumulate more God’s power together in prayer and communion for the explosion of God news leaving no vacuum between us, I say leaving no free electrons hanging without conduction in our bond until all people of this world experience the undiluted God’s word and His knowledge as we have been equipped by the Holy Spirit through His anointing (1 John 2:27) in the might name of Jesus Christ of Nazareth, Thanks and amen!.

Saturday, October 2, 2021

#SON OF THE SOIL (☆☆☆MWANA - NCHI☆☆☆)

 ☆☆☆Ooh! Son of the soil.

☆☆☆Umwana uwudongo.

☆☆☆Mwana -wa-mavumbi.

☆☆☆Mwana-wa-nchi. 

☆☆☆Mwana-wa-adamu. 

☆☆☆Mwana-wa-ardhi, huh! ambayo leo tunaikanyaga hivi, kesho na kesho kutwa tutaunganayo kama waliotutangulia, nayo itatufunika milele na tutakuwa sehemu yake yaani udongo tu, tujihadhali sana tunavyoishi na tunayoyatenda. Mpende sana Mungu ishi matakwa yake ile ahadi iwe yako ya kwamba miili hii ikiexpire twawa hai zaidi ktk yeye Mungu.

Kama Biblia katika Mwanzo 3:19 inavyosema; twalitwaliwa katika ardhi/udongo na ardhini/mavumbini tutarejea. Mungu aliiamuru ardhi tuundwe/umbwe ktk hiyo kwa materials zake kwa mfanano wake Mungu. Natukapewa mamlaka ya kuiitiisha ardhi' na kuiamuru (Yeremia 22:29) na kuielekeza miili yetu yapasayo kutendeka. Yeye Bwana kama mpanzi (Mathayo 13:18-35) amepanda mbegu, neno lake ndani yetu tujitambue nafasi zetu na yaliyomapenzi ya Mungu tuyatende kwa majira yako kabla ya wakati wa kutokufaa kwetu, jukumu lako kujijua wewe ni udongo wa aina gani' je we ni ule udongo wa njiani/barabarani' ni wa mibani' ni wa miambani' ama we ndio udongo mzuri unaotakwa na Bwana Mungu basi tambua majira yako yakujiliayo sasa sababu anahaja nawe kwa ajili yake mwenyewe uyatimize mapenzi yake duniani kama ilivyo mbinguni. Na ni hakika kabisa kama alivyowahi kukiri Mtakatifu Augustino wa Hippo ya kwamba; "UMETUFANYA KWA AJILI YAKO MWENYEWE, EE! BWANA, NA MIOYO YETU HAITULII WALA HAITATULIA MPAKA ITAKAPOPATA PUMZIKO KTK WEWE". Kwa maana ktk yote tunalakujibia siku ya hukumu kwa pumzi ya uhai huu, kwa nguzu za mwili huu tusipo yatimiza mapenzi yake, hivyo sema na nafsi yako leo, ewe nafsi yangu, ewe udongo mhimidi Bwana sasa na milele. Waliotutangulia mbele ya haki aliyekutangulia mbele ya haki akupa wewe uhakika na onyo pia kwamba mapito yako yawe na Mungu, mwana udongo tusijejidau wala kujisahau sana kwa lolote iwe kwa mali, kwa vitu, kwa umaarufu, umashuhuri wala kwa uzuri heshimu kila mwana udongo mwenzio kwani njia yetu ni moja. Biblia katika Yeremia 17:7-8 inasema; "Amebarikiwa mtu yule/mwana udongo amtegemeaye Bwana, ambae Bwana ni tumaini lake. Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, uenezao mizizi yake karibu na mto; Hautaona hofu wakati wa hari ujapo, Bali jani lake litakuwa bichi, wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua, wala hautaacha kuzaa matunda". Barikiwa na Bwana, amina.