Friday, April 22, 2016

#IGNORANCE = LACK OF KNOWLEDGE

Origin of the word Ignorance is "Agnoei", "ag-no-eh'-o", "Idiotes" from greek with the meaning lack of knowledge, unenlightened, unintelligible, unlearned. To ignore is to disregard, to refuse, to reject, to be unaware, in another way it is to be not strong minded, not sharp, not determined, shakable, not persistent.

In Swahili; Ignore ni kupuuza, kutofahamu, kutozingatia, kughairi, kupotezea, kutong'ang'ania.

Hivyo Upumbavu, Ujinga, Upuuzi ni kukosa maarifa, kutokuwa na ufahamu, kutojitambua vizuri, kuchukulia kila kitu kawaida kawaida tu.

Pia kuna neno "Agnostic", lenye asili ya kigiriki likimaanisha ni kule kutokuamini kwa imani, kutokujishughulisha kutaka kujua, kunakomfanya mtu apuuze na kutokuamini kwamba yupo Mungu mwenye nguvu zote hivyo kukosa maarifa ya mwenyezi Mungu wa mbinguni na kumpelekea huyo kuishi kipumbavu, kijinga, kipuuzi. 

Pia msisitizo katika hili ni kwamba ujinga, upumbavu huleta utumwa kwa mwanadamu. Note also faith in God/ that belief bring in understanding and gives wisdom to man.

Hosea 4:6; God don't like ignorant, that's why He says i will reject ignorant people from being my Priest. See also Acts 3:17, 1 Corinthians 14:38, Romans 10:3.

Persistence is profitable, and persistent people are the most powerful people; see Ibrahim, Elisha, 4 Leprosy men in Genesis 18:1-2, 2 Kings 7:3-4. 
No excuse for the ignorant, the only portion of Ignorant is Lack, see even to the case of Elisha that final examination of Elisha by Elijah shows that if only Elisha didn't have such understanding it means he wouldn't had been the partaker of that double anointing of Elijah, 2 Kings 2.

Because the one who is persistent; is strong minded, determined and unshakable.
Being persistent shows that you understand but the one who ignore things shows how idiot he/she is.
Get understanding, be wise; Proverbs 4:5,4:7, 16:16 insist that.
Be wise/shrewd like snake and innocent like dove; Matthew 10:16; Satan is not that idiot, he can persuade you to be ignorance, so as to steal your blessing.

Pia Psalm 82:5-7 inasisitiza kule kujitambua kwamba sisi ni miungu, ndio uungu wenyewe ndani ya mwanadamu.

Proverbs 23:23 inasema "inunue kweli, wala usiiuze, naam, hekima, na mafundisho, na ufahamu". Na pia Proverbs 4:13 inasisitiza ya kuwa "mkamate sana elimu, usimwache aende zake; Mshike, maana yeye ni uzima wako." Hivyo ujinga ni wa kukwepwa kama ukoma, kwa maana ni utumwa huo.

Joshua 1:8; This earth was created by the Word of God, and hence the only key to lock and unlock things in this universe is the word of God.
God is wise, so we must be wise, for we are liken to Him see Deuteronomy 2:24; To be given ownership is not all, you must contend with those you oppose to succeed and qualify the ownership, that is the only way of manifesting God like Character in You.

Now Brethren, to have assurance that you understand, always write the vision down, and be persistent to it until it is fulfilled/ come to pass - Habakkuk 2:2.
That is the only way, Man with understanding does, and that is the knowledge of God.

I am not Ignorant in Jesus Christ name, Amen.