Saturday, July 25, 2020

#IMANI NI KUSIKIA NENO LA MUNGU; KUMSIKIA KRISTO ALIYE HAI

Warumi 10:17 katika Biblia yasema; ‘Imani chanzo chake ni kusikia, na kusikia huja kwa Neno la Mungu (Yesu Kristo)’.  

Hivyo imani ni zao la kusikia si kuona japo kushuhudia kwa macho kunaunga juhudi kwa sehemu za kuihuisha imani iliyozalishwa na kusikia, na kusikia kwa Neno la Mungu (Yesu Kristo).

Imani huhitaji masikio zaidi kuliko macho sababu kuona kwa macho hakuimarishi imani. Awapo Kipofu asikiaye na kiziwi aonaye, imani kwa kipofu asikiaye itajengeka mara na kuimarika zaidi kuliko kiziwi, kwa maana kuona kwa macho hakufikiri bali kusikia huambatana na fikra.

Pia biblia inasema ‘Imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana’ (Ebrania 11:1). 

Imani si kwa kuoneshwa bali kwa kulisikia Neno la Mungu, unaamini sio kwa sababu umeona bali umesikia, waweza ona, ukiona utakuwa umeona iliyokawaida ya macho ila usikiapo tu imani huzaliwa.

Mtu huwa na matarajio juu ya kitu ama jambo sababu ya Neno la Mungu alilolisikia na wala sio muujiza aliouona. Muujiza hautakuletea wokovu ila Neno la Mungu (Mathayo 11: 20-24).


Kwa hivyo, kule kusubiri mpaka kuona ishara na miujiza ndipo umuamini Kristo kumewapoteza wengi na kuwaponza hata watumishi wa Mungu makini kabisa, yeah! ndio, kulekutamani kuona na kuonesha hata visivyoagizo la Mungu. 

Yatosha kulisikia na kulipapasa Neno la Mungu (1 Yohana 1:1). 

Kua imani, kwa nguvu ya kusikia (masikio) maana ile mbegu iliyo Neno la Mungu ni msingi wa yote maishani, japo dunia yajali zaidi vya kuona na macho hayatosheki (Mithali 27:20) na madanganyo yake hayajengi kamwe imani. 

Sema na nafsi itulie na ijue hauiishi miujiza bali unaiishi Baraka ya Mungu.

Ubarikiwe sana ndugu, amina.

Monday, July 6, 2020

#ROHO MTAKATIFU


Roho Mtakatifu (Swahili), Inumbula ja Nguluvi (Bena), Mumuyo Mwele (Chaga), Embeera z'obuntu bw'Omwoyo Omutukuvu (Luganda-Ungada), Umwuka wera (Rwanda), Mweya Mutsvene (Shona-Zimbabwe), Umoya Ongcwele (Zulu-S.Africa), Gbigbo Wiwe (Yoruba-Nigeria), Holy Spirit (English), Holy Ghost (English), Ruach HaKo'desh (Hebrew), Allos Parakletos (Koine Greek), Paraclete(Greek), Spiritus Sanctus (Latin), Heiliger Geist(German), esprit Saint(French), Spiorad Naomh(Irish), Svyatoy Dukh (Russian), Espíritu Santo(Spanish), vyovyote utakavyomuita kwa lugha yako.
    Roho Mtakatifu ndiye aliye ndani ya Yesu Kristo yaani Mungu Baba ndio huyo huyo mmoja hakuna watatu. Biblia (1 Yohana 5:7-9) inasema watatu wanashuhudia mbinguni; Mungu Baba, Neno na Roho Mtakatifu nao ni mmoja (MUNGU) na watatu duniani; Maji, Damu na Roho nao ni mmoja (Mwanadamu). Sasa kama ambavyo mwanadamu hawezi kugawanyika na kuwa zaidi ya mmoja yaani kama Recknald ni Baba, Mume na Mhasibu atakuwa ndiyo yuleyule Recknald mmoja daima, ndivyo ilivyo MUNGU ni mmoja regardless His manifestations to human beings. Hivyo kama basi ushuhuda wa mwanadamu unapokelewa kuwa ni kweli basi wa Mungu ni mkuu zaidi, ushuhuda wa Mungu ndio huu amemshuhudia mwanawe, yaani mwana wa Roho Mtakatifu, full stop. Amini leo kama bado.
Na hii ni hakika na kweli kwamba Roho Mtakatifu ndiye Mwalimu wetu, Mfariji wetu, Msaidizi wetu, huyu Mungu mmoja ndiye huyo huyo ndiye yeye kwetu na wa mfanano wetu wala si kitu, ama njiwa ama wa ishara yeyote unayodhani wewe kumlinganisha au kumfananisha kwayo, ni wa mfanano wetu wanadamu yaani Mungu.
   Huyo ndio habari njema ya dunia tangu kupaa kwa Yesu Kristo kwenda mbinguni na mbali, mbali zaidi ya mbingu, hakuna habari mpya zaidi ya hiyo ya Mungu pamoja nasi daily (yaani Roho Mtakatifu ndani yetu). Huyu yupo live duniani yupo nasi sasa hapa hapa duniani ndani yetu anatusaidia katika udhaifu wetu hatujui kusali vyema anatuwezesha tutiwe nguvu ya kushinda katika yote, kupitia yeye na kwa ajili yake ndani yetu tunasali, tunaomba, tunabarikiwa na kushinda yote, tuna huo uweza kwake na uwezo katika yote kwa maana ndiye yeye ayakamilishaye yote ndani yetu; yaani Roho Mtakatifu ndiye Mungu baba, ndiye Mungu mwana hapo, wala huwezi kabisa tofautisha watatu walio mmoja ndani yetu, ni ahadi na ilishatimia kwetu.
   Hivyo tembea kifua mbele sio kwa sababu ya nguvu za mwili wako, ama akili zako na utashi, ama uwezo wa kufanya kitu, ama utajiri wako na mali, bali kwa kuwa makao makuu (HQ) ya Roho Mtakatifu ni ndani ya wateule wake waliokombolewa kwa damu yake yaani Yesu Kristo.
  Kama umeamini katika hili na Yesu Kristo kafanyika Bwana na mwokozi wa maisha yako, yote haya ni yako, kwa kuwa ukombozi na uweza wa kukuunganisha katika neema hii una yeye Bwana, hivyo nasema barikiwa na Roho Mtakatifu siku zote katika jina la Yesu Kristo, amina.

Saturday, July 4, 2020

#WHAT ABOUT ALTAR CALLS?

By Thabiti Anyabwile.
Some facts about it:
1. The altar call is simply and completely absent from the pages of the N.T. It is historically absent until the 19th century, and its use at that time (via Charles Finney) was directly based upon bad theology and a man-centered, manipulative methodology.
2. The altar call very easily confuses the physical act of “coming forward” with the spiritual act of “coming to Christ.” These two can happen simultaneously, but too often people believe that coming to Christ is going forward (and vice-versa).
3. The altar call can easily deceive people about the reality of their spiritual state and the biblical basis for assurance. The Bible never offers us assurance on the ground that we “went forward.”
4. The altar call can sometimes mislead to think that salvation (or any official response to God’s Word) happens primarily on Sundays, only at the end of the service, and only “up front.”
             These facts as for me it makes sense, so assurance that Jesus Christ is in a person, is the manifestation of Holy Spirit in that person and not just 'coming forward' as a means that imply 'coming to Jesus'.
             Kwa namna hiyo iwe umeenda mbele madhabahuni ama umesimama ulipo kanisani, iwe ni jumapili kanisani ama siku za kati ya wiki mtaani, kama Warumi 10:9-10 inavyosema katika Biblia takatifu, shida sasa haiko katika kukiri kwa kinywa (wengi huambiwa wakiri na hufanya hivyo kama mtumishi wa Mungu awaongozavyo katika ukiri huo), bali ni kule kuamini moyoni ili uokolewe (sasa ni kwa kiwango gani umeamini? umeamini kwa asilimia mia ulichokiri kwa habari ya Bwana Yesu?).
            Kujua hilo kunafanya altar call iwe na thamani na maana iliyokusudia na Bwana, lakini ni kweli kabisa si kila anayesogea mbele ya madhabahu kukiri na kusali sala ya toba anaokolewa saa na wakati ule, sababu ya moyoni ayajuaye ni mwanadamu mwenyewe na Mungu, hivyo hata mtumishi wa Mungu amuaminishe baada ya toba ya kuwa sasa umeokoka na kuwa kiumbe kipya saa nyingine inaweza isiwe hivyo kwa wakati huo na hii inatokana na mtu mwenyewe alivyoweka moyo wake na Mungu na pia kutimia kwa majira ya Mungu kwa mtu huyo kujiliwa na Bwana.
             Nihitimishe hivi, hakuna ajuaye saa na wakati sahihi wokovu kamili ujapo kwa mwanadamu iwe mwanadamu mwenyewe ama mtumishi wa Mungu amuongozaye sala, ni Mungu ndiye ajuaye japo katika hili utayari wa moyo ni wa mwanadamu na jawabu la wokovu ni la Mungu. Tumeshuhudia wengi wakienda mbele ya kanisani kukiri na kusali sala ya toba na kisha kuishi maisha yaleyale ya zamani ya uovu, na saa nyingine wao wenyewe kukiri hawaoni tofauti ya kabla na baada ya wokovu walioambiwa kuwa wameupokea kwa Bwana huku wakiaminishwa waendelee kuishi katika imani hiyo kuwa wameshaokoka hali ya kuwa hawana shuhuda ndani yao ya kuwaaminisha katika hilo.
               Nakolezea kwa kusema; magumu sana maisha ya wokovu wa kubambikiziwa na kuaminishwa na hali ndani yako imani haijashiba kuamini hivyo, ama maisha ya wokovu wa kuiga na kuigiza, hivyo kama kweli umeokoka na nafsi yako iwe huru kwa Bwana nawe uchukie na kuacha uovu, na uwe na amani ya Kristo ndani yako katika yote ili mapenzi ya Mungu yatimizwe kwako.

#ABOUT LOVE

       During the process of translating the Holy Bible into English language, at that time English vocabularies were scarce had like 6,000 words that needed to translate like 12,000 words from Greek and Hebrew languages into what later called KJV. So, the word 'Love' that is mentioned 310 times in 280 verses of Holy Bible (KJV) implies more meaning than just common love meaning as most of us knew. Now by examining that word in its original context you will realise actually originated from 4 ancient greek terms with totally different meaning as used in Ancient Greek Bible that was then all rendered in English translation as Love;
1. Agape love (the love of God); high form of love, charity found in God which is unconditional like that one manifested in John 3:16.
2. Storge Love (Love of a parent which is protective love); this familial love referring to natural and instinctual affection.
3. Phileo Love (Brotherly or friendship love); that which only desires good things for others and is compassionate.
4. Eros Love (Passionate or Romantic Love); love which comes with feelings of arousal that are shared between people who are physically attracted to one another.
In all those four kinds, other three have no point of reference without the first one (Agape Love).
Based on above analysis you know now what kinds of love dominate you, that which you always give-out.

#SONS OF GOD

     While the creation waits in eager expectation for the revelation of the sons of God (Romans 8:19). The beloved John wrote, “Behold, what manner of love the Father hath bestowed upon us, that we should be called the sons of God” and, “Beloved, now are we the sons of God” (1 John 3:1, 2).
      Always going through the process of designation where God the Father is deifying us daily until we are fully "sonized". Just like Jesus our prototype as deified son of man (i.e. Son of God -'Dei Filius'), who by incarnation He brought God into man (and became God-man) and by resurrection He brought man into God (became man-God), that is, He brought His humanity (seed of David) into the divine Sonship possessing both humanity and divinity (2 Samuel 7: 12-14; Romans 1:3-4).

Hallelujah! Blessed be His Holy name JESUS,........

#HOW WONDERFUL IS A GOD'S WORD

Ooh! how wonderful is a God's Word, how wonderful is His Name, JESUS! For you have exalted your Word above all your name (Psalm 138:2). This is really really powerful and amazing.
'Heaven and Earth will pass away but God's Word stands forever'. Bible admit this (Matthew 24:35, Mark 13:31, Luke 21:33, Matthew 5:18, Luke 16:17, Isaiah 40:8 and more...).
Isaiah 55:10-11 says:
'As the rain and the snow come down from heaven, and do not return to it without watering the earth and making it bud and flourish, so that it yields seed for the sower and bread for the eater, so is my word that goes out from my mouth: It will not return to me empty, but will accomplish what I desire and achieve the purpose for which I sent it.'
Is it not the same word that revitalize my body and soul by making newness of me with might strength?, true  to what I am saying indeed it does, this JESUS, for me He really works in my life no matter what, so it never a mistake to be on God's side and to rely on God's word.
See how Holy Bible expound God's word;
 Eph. 6:17 calls it “the sword of the Spirit.”
 Jer. 5:14 calls it “a devouring flame.”
 Jer. 23:29 calls it “a crushing hammer.”
 John 17:17 calls it “a purifier of people.”
 Ezekiel 37:7 depicts it as the life-giving force that makes dry bones live.
 Rom. 1:16 calls it “the power of God for the salvation of everyone who believes.”
 and more.
So, human what more else do you want, to retain your being, stick to Him you will be safe for eternity. As for me this is my gospel, i know no other.